Nenda TCRA Mtambo wao ndio kazi yake lakini pia kutokuwa na receipt ya kununulia simu ama imei watajuaje km ni ya kwako 'But if their kind they can assist'
m n navyojua km huna imei wanakuambia uwape namba ya simu iliopo mule au ya mwisho ww kuitumia na baada ya hapo watatumia hio namba kupata imei ya simu