Naomba Msaada namna ya kuroot simu zenye android version kuanzia 6.0.1.

Naomba Msaada namna ya kuroot simu zenye android version kuanzia 6.0.1.

ebidada

Member
Joined
Apr 15, 2014
Posts
69
Reaction score
81
naomba kusaidiwa namna ya kuroot simu zenye android kuanzia simu 6.0.1 ukiacha simu za samsung. nimejaribu njia kadhaa bila mafanikio, nimejaribu kutumia kingroot,kingoroot,oneclick,wondershare n.k. hata kama ipo ya kulipia naomba kusaidiwa katika hili. ahsanteni
 
Kuroot ndio kufanya nini[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ?? We itakuwa umesoma IT piga ua
ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa simu za mkononi, vidonge na vifaa vingine vinavyotumia mfumo wa uendeshaji wa simu ya Android ili kupata udhibiti wa kibinafsi (unaojulikana kama upatikanaji wa mizizi) juu ya mifumo mbalimbali ya Android. Kama Android inavyotumia kernel ya Linux, kuinua kifaa cha Android hutoa ruhusa sawa na vibali vya utawala (superuser) kama kwenye Linux au nyingine yoyote ya mfumo wa uendeshaji wa Unix kama FreeBSD au MacOS.
kuroot simu yako inakurusu pupata application bure ambazo huwa ni za kulipia, pia inakusaidia kutoa applications ammbazo huwa hazitoki kwa uninstall kwa kawaida kwa mfano kwenye simu cha kichina na kikorea. ukifanya hichi kitendo pia utakuwa umeitoa simu yako kwenye waranty.
 
naomba kusaidiwa namna ya kuroot simu zenye android kuanzia simu 6.0.1 ukiacha simu za samsung. nimejaribu njia kadhaa bila mafanikio, nimejaribu kutumia kingroot,kingoroot,oneclick,wondershare n.k. hata kama ipo ya kulipia naomba kusaidiwa katika hili. ahsanteni
Simu gani?
 
Inaishia hapo
c4e67d188ebc5b4e2623e5a48fe76f2d.jpg
f4fc8e2c1c56bb12d0e72f3c2c551ea0.jpg
 
Back
Top Bottom