Naomba msaada, nakabwa na wachawi usiku

Naomba msaada, nakabwa na wachawi usiku

Kweli kabisa
So achana njia nyingine hizo utaongezewa nguvu za giza tu na mapepo juu!

Maombi ni mhimu lkn pia kuijua kweli,ufundishwe uweze kujisimamia na kujiombea mwenyewe ni vzr zaidi!

Karibu!
 
Habari zenu wadau, mimi naomba kujuzwa njia ya kujikinga na hawa wachawi wanaonitesa usiku, yaani unakabwa hadi ukishtuka unaona kichwa hakiko sawa, nimechoka sana na hawa wanga.
Naomba msaada niepukane na hili janga jamani.
Unapata tatizo la moyo..watch out
 
Pole sana mkuu fanya hivi kama imani yako inakuruhusu lala na mfupa wa nguruwe chumbani kwako hicho kiumbe hakito ingia tena. Au kama unatumia hii kitu wanaita bange pasi ipulize kabla ya kulala ule moshi utapakae ndani ila si lazima uvute cha msingi ni moshi wake tu so utaangalia namna ya huo moshi kutoka ukifanya hivyo hawatokusumbua tena. Tahadhari wanga na wachawi wengine ni member wa jf so angalia wanaweza kuja na coment zao za kukupotesha ili wazidi kukufanyia ushenzi.
 
Habari zenu wadau, mimi naomba kujuzwa njia ya kujikinga na hawa wachawi wanaonitesa usiku, yaani unakabwa hadi ukishtuka unaona kichwa hakiko sawa, nimechoka sana na hawa wanga.
Naomba msaada niepukane na hili janga jamani.
 
Nipe mawasiliano ya hao wachawi nataka niwape Trafick wote waonevu disprin.
 
Sali sana Rozari pamoja na Sala zingine muhimu na kujinyunyizia Maji ya Baraka km ishara ya kumfukuza Shetani na Washirika wake.
 
Usilale chali.lkn pia uwe unachek afya mara kwa mara,kwani malaria huwa pia inapelekea kuota ndoto mbaya
 
chukua mkaa saga kisha paka viganjan na unyayon mwa miguu kisha paka katika paji la uso kisha njoo utoe mrejesho
 
Wote ni kitu kimoja kama unavyoweza kuitwa mwalimu au ukaitwa kwa jina lako halisi.
dah mnapenda kumpa mizigo ya kujib yesu siki ya kiama nyie hivi haya mapokeo hua mnayaelewa kwel?? hapo ulivojib ni sawa na kusema yesu ni Mungu
 
PUNGUZA KULA VYAKULA VIZITO USIKU....SI AJABU WE NIGHT KALI UNAFAKAMIA MAUGALI UKILALA LAZIMA HUISI UNAKABWA...
USHAURI WANGU USIUCHUKULIE MZAHAA NI KWELI NACHO KWAMBIA

OVA
 
Pole sana mkuu fanya hivi kama imani yako inakuruhusu lala na mfupa wa nguruwe chumbani kwako hicho kiumbe hakito ingia tena. Au kama unatumia hii kitu wanaita bange pasi ipulize kabla ya kulala ule moshi utapakae ndani ila si lazima uvute cha msingi ni moshi wake tu so utaangalia namna ya huo moshi kutoka ukifanya hivyo hawatokusumbua tena. Tahadhari wanga na wachawi wengine ni member wa jf so angalia wanaweza kuja na coment zao za kukupotesha ili wazidi kukufanyia ushenzi.
Kumbe wachawi hawatumii kitimoto na bangi?
 
tatizo la moyo hilo. ukilala chali gravity inabana kifua. sasa moyo ukiwa dhaifu au kukiwa na fluid overload unapungukiwa hewa ubongoni na kuleta hisia za kukabwa. ulale kwa kuinua kichwa na mito.
 
Back
Top Bottom