Naomba msaada nahitaji kujijengea utamaduni wa kusoma vitabu

Naomba msaada nahitaji kujijengea utamaduni wa kusoma vitabu

careenjibebe

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2020
Posts
1,604
Reaction score
1,655
images (24).jpeg


Naombeni mnisaidie aina ya vitabu vya kiswahilina kingereza ambavyo vinaweza kumvutia anayejifunza kusoma vitabu vyenye mafunzo pia.
 
Things fall Apart: Chinua Achebe

No longer At Ease: Cyprian Ekwensi

The Beautiful Ones are Not Yet born.

Cry The Beloved Country

Mashimo Ya Mfalme Suleiman

Kusadikika.
 
Things fall Apart: Chinua Achebe

No longer At Ease: Cyprian Ekwensi

The Beautiful Ones are Not Yet born.

Cry The Beloved Country

Mashimo Ya Mfalme Suleiman

Kusadikika.
Mkuu samahani naomba usahihishe hapo. "No Longer At Ease"
pia ni kazi ya Chinuo Achebe

Ila mleta uzi angeelezea aina ya vitabu anavyo vitaka. Kuna vitabu vya hadithi za kutunga, simulizi za kweli, riwaya ya kipelelezi n.k.

Pia kuna vitabu vya maarifa kama sayansi, teknolojia na ufundi. Aeleze vilevile lugha anayoipendelea ili apate ushauri wenye manufaa kwake
 
Mkuu samahani naomba usahihishe hapo. "No Longer At Ease"
pia ni kazi ya Chinuo Achebe

Ila mleta uzi angeelezea aina ya vitabu anavyo vitaka. Kuna vitabu vya hadithi za kutunga, simulizi za kweli, riwaya ya kipelelezi n.k.

Pia kuna vitabu vya maarifa kama sayansi, teknolojia na ufundi. Aeleze vilevile lugha anayoipendelea ili apate ushauri wenye manufaa kwake
Vitabu vya saikolojia na kujitambua. Kiswahili
 
Things fall Apart: Chinua Achebe

No longer At Ease: Cyprian Ekwensi

The Beautiful Ones are Not Yet born.

Cry The Beloved Country

Mashimo Ya Mfalme Suleiman

Kusadikika.
Inaonyesha uliishia kidato cha nne Mjomba umekariri kweli kweli [emoji3][emoji3]
Mbona hujamkumbusha kusoma Bibilia?
 
Kusoma na ku-apply kile ulichokisoma ni mambo mawili tofauti. Unaposoma jifunze pia kufanyia kazi kile unachokipata katika vitabu husika. Ni changamoto kwa kuanza maana utaonekana mtu wa tofauti na baadhi kuanza kukutafsiri tofauti kuanzia mtazamo na tabia pia.

Vitabu vina msaada mkubwa sana hasa ukiwa na lengo linaloeleweka na kulisimamia, tofauti na kusoma tu vitabu vya aina fulani bila kujua nini unataka kufahamu kwenye kitabu husika.

Unasoma vitabu vya saikolojia na maisha hakikisha umeiandaa saikolojia yako na mwili wako kupokea vitu vipya na kuwa tayari kuendana navyo na kuviamini pia.

Anza taratibu na usiwe na shahuku sana kupita kiasi maana unaweza poteza interest ya kusoma ndani ya muda mfupi sana kwa kutokupata unachokitaka kwa wakati huo. Wataalamu wanasema unahitaji kusoma kitabu kimoja tu ili kubadili maisa yako yote, mtihani huja katika kukijua ni kitabu gani hicho kimoja kitakachobadili maisha yako na hapo ndipo usomaji wa vitabu vingi uanza kwa lengo la kupata hicho kitabu kimoja.

Kuwa flexible katika kujifunza. Unaweza kutana na kitabu cha saikolojia au maisha kinaelezea masuala ya biology, physics au chemistry uliyoiacha huko nyuma, so kubali kuingia tena darasani kugusa kila eneo ili concept ziweze kukaa ipasavyo.

Nilianza kusomaga makala za kwenye blogs, forums (JamiiForum, Quora, Reddit pia).

Kitabu cha kwanza kuanza kusoma ilikuwa ni "THINK AND GROW RICH" By Napoleon. Hichi ndiyo kitabu kilichofungua ulimwengu mwingine katika maisha yangu. Baada ya hapo kilichofuata ilikuwa ni "16 LAWS OF SUCCESS" By Napoleon.

Unaweza kuzipitia pia. Kusoma vitabu ni njia nzuri ya kuutambua ulimwengu kiujumla.

Kila la kheri.
 
Kusoma na ku-apply kile ulichokisoma ni mambo mawili tofauti. Unaposoma jifunze pia kufanyia kazi kile unachokipata katika vitabu husika. Ni changamoto kwa kuanza maana utaonekana mtu wa tofauti na baadhi kuanza kukutafsiri tofauti kuanzia mtazamo na tabia pia.

Vitabu vina msaada mkubwa sana hasa ukiwa na lengo linaloeleweka na kulisimamia, tofauti na kusoma tu vitabu vya aina fulani bila kujua nini unataka kufahamu kwenye kitabu husika.

Unasoma vitabu vya saikolojia na maisha hakikisha umeiandaa saikolojia yako na mwili wako kupokea vitu vipya na kuwa tayari kuendana navyo na kuviamini pia.

Anza taratibu na usiwe na shahuku sana kupita kiasi maana unaweza poteza interest ya kusoma ndani ya muda mfupi sana kwa kutokupata unachokitaka kwa wakati huo. Wataalamu wanasema unahitaji kusoma kitabu kimoja tu ili kubadili maisa yako yote, mtihani huja katika kukijua ni kitabu gani hicho kimoja kitakachobadili maisha yako na hapo ndipo usomaji wa vitabu vingi uanza kwa lengo la kupata hicho kitabu kimoja.

Kuwa flexible katika kujifunza. Unaweza kutana na kitabu cha saikolojia au maisha kinaelezea masuala ya biology, physics au chemistry uliyoiacha huko nyuma, so kubali kuingia tena darasani kugusa kila eneo ili concept ziweze kukaa ipasavyo.

Nilianza kusomaga makala za kwenye blogs, forums (JamiiForum, Quora, Reddit pia).

Kitabu cha kwanza kuanza kusoma ilikuwa ni "THINK AND GROW RICH" By Napoleon. Hichi ndiyo kitabu kilichofungua ulimwengu mwingine katika maisha yangu. Baada ya hapo kilichofuata ilikuwa ni "16 LAWS OF SUCCESS" By Napoleon.

Unaweza kuzipitia pia. Kusoma vitabu ni njia nzuri ya kuutambua ulimwengu kiujumla.

Kila la kheri.
Asante sana!
 
Unaweza pia kujiunga kwenye group la Dar book club kwa kuingia kwenye website
 
Mkuu samahani naomba usahihishe hapo. "No Longer At Ease"
pia ni kazi ya Chinuo Achebe

Ila mleta uzi angeelezea aina ya vitabu anavyo vitaka. Kuna vitabu vya hadithi za kutunga, simulizi za kweli, riwaya ya kipelelezi n.k.

Pia kuna vitabu vya maarifa kama sayansi, teknolojia na ufundi. Aeleze vilevile lugha anayoipendelea ili apate ushauri wenye manufaa kwake

Vitabu vya kibiashara(kujinyanyua kimaisha)


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mkuu samahani naomba usahihishe hapo. "No Longer At Ease"
pia ni kazi ya Chinuo Achebe

Ila mleta uzi angeelezea aina ya vitabu anavyo vitaka. Kuna vitabu vya hadithi za kutunga, simulizi za kweli, riwaya ya kipelelezi n.k.

Pia kuna vitabu vya maarifa kama sayansi, teknolojia na ufundi. Aeleze vilevile lugha anayoipendelea ili apate ushauri wenye manufaa kwake

Umepata mkuu ni miongo mingi imepita.! " CHINUA"
 
Back
Top Bottom