si kila alama ya uandishi ni lazima iwe katika kila mfumo wa lugha dunia nzima....alama ulizofundiswa na mwalimu wako wa darasa la kwanza na pili katika somo la mwandiko ndo hizohizo kama unataka kujua alama zingine ni jukumu lako kuzunguka madarasa ya nchi mbalimbali ili uweze jua hizo alama kwa usahihi...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.