Naomba msaada maswali ya interview za polisi

Naomba msaada maswali ya interview za polisi

1. Kwanini unataka kujiunga na Jeshi la Polisi?...
Jibu!..Napenda tu kuwakata mitama wapinzani na kuwavunja miguu itapobidi.
2. Rushwa ni nini?,
Jibu!..Ni sabuni ya roho na hela ya kiwi.......kila Polisi ruksa kuchukua chambi chambi.
Kijana umepata kazi hongera..
 
Nimeona majina ya vijana wengi wenye degree za udaktari, uuguzi, ufamasia maabara sheria na taaluma nyingine nyingi wameitwa kwenye usaili. Kwahyo una nini cha kuwaambia mkuu
Waache wamechagua wenyewe
 
Nimeona majina ya vijana wengi wenye degree za udaktari, uuguzi, ufamasia maabara sheria na taaluma nyingine nyingi wameitwa kwenye usaili. Kwahyo una nini cha kuwaambia mkuu
Driving licence anayo,
 
Keyboard fighters watakuja na maneno ya kejeli, ila mtoa mada naomba uwapuuzie
Alafu mshika dau dizain nakuona na wewe ni mmoja wao.

Hii post ya pili nakusoma unawamba upande huo!
 
Moja kati ya kazi za kipumbavu nilizowahi kufanya ni kuajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania,namshukuru Mungu nilikuja kuacha kwa kutoa notisi ya masaa 24
You did right brother, japokuwa nilikuwa wa taasis nyingine maarufu
 
Back
Top Bottom