Naomba msaada kwa waliokwisha ripoti UDOM

Naomba msaada kwa waliokwisha ripoti UDOM

Wazo la kabwela

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
1,883
Reaction score
1,465
Eti kama hauna cheti cha form 6 kwa wale wa form 6 2014 na una result slip tu unaweza kufanyiwa usajili?? Mimi hadi sasa cheti sijapata kwani kilitumwa posta muda alafu posta wakakirudisha baraza. Sasa hadi sasa baraza wananizungusha tuu je niripoti tu au?
 
eti kama hauna cheti cha form 6 kwa wale wa form 6 2014 na una result slip tu unaweza kufanyiwa usajili?? mimi hadi sasa chet sijapata kwani kilitumwa posta mda alafu posta wakakirudisha baraza.sasa hadi sasa baraza wananizungusha tuu je niripoti tu au?

R.slip ya mwaka 2014 imeexpire hivyo utasumbuliwa sana.
USHAURI
Nenda baraza wakupe cheti chako then uje kuripoti.
Pia kama unaweza lipia kila kitu huko kwani huku utasumbuka kwasababu kuna foreni kubwa katika benki zote(mjini na chuoni).Jitahidi ulipie kila kitu kwasababu hautasajiliwa ikiwa unadeni lolote hatakama itakua 1 TSH.
 
Back
Top Bottom