donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Habari wakuu,
Naomba msaada kwa anayefahamu kama kwa hapa Tanzania especially daressalaam kama kuna animal rescue org yeyote ambayo inapokea animals au pets mbalimbali ambao wako endangered kama kittens,puppies, birds of all sorts etc. nakuwapa matunzo yanayostahili. Karibu na ofisi yetu kuna kapori fulani ambapo kuna mbwa amezaa vitoto kama 6 hivi ila kiukweli havina matunzo maana mamayao mwenyewe ni hadi akaokoteze mabaki ya vyakula kwenye ma jaa au dustbins ale ndio apate maziwa ya kuwanyonyesha watoto wake. Hivyo kama kuna mtu anafahamu naomba contacts niweze kuwasiliana na hao watu waje kuwachukua...
Naomba msaada kwa anayefahamu kama kwa hapa Tanzania especially daressalaam kama kuna animal rescue org yeyote ambayo inapokea animals au pets mbalimbali ambao wako endangered kama kittens,puppies, birds of all sorts etc. nakuwapa matunzo yanayostahili. Karibu na ofisi yetu kuna kapori fulani ambapo kuna mbwa amezaa vitoto kama 6 hivi ila kiukweli havina matunzo maana mamayao mwenyewe ni hadi akaokoteze mabaki ya vyakula kwenye ma jaa au dustbins ale ndio apate maziwa ya kuwanyonyesha watoto wake. Hivyo kama kuna mtu anafahamu naomba contacts niweze kuwasiliana na hao watu waje kuwachukua...