Naomba ufafanuz juu ya kuomba vyuo!! Nimemaliza dip mwak 2014 na overall gpa yang n 3.7 nishaomba loan bod on Kama nijuavyo mm kwetu cc tuliomaliza dip tunafanya maomb kupitia nacte na Nacte walishafunga vp naweza,omba kupitia TCU au baadae Nacte wataruhusu tena watu
kuomba