Naomba msaada kwa anayejua soko la asali

Naomba msaada kwa anayejua soko la asali

NGOSWE2

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
1,424
Reaction score
1,713
Habari za asubuhi wadau.

Kama kichwa kijielezavyo hapo juu, ninaomba msaada kwa anayejua soko la kuuza asali. Ninayo asali kwa wingi ya nyuki wakubwa lakini tatizo ni soko sijui niipeleke wapi. Kuna baadhi ya watu waliniambia kuna waarabu dar wanachukua lakini hawakuniambia wako maeneo gani.

Tafadhari kwa anayejua soko lilipo.

Natanguliza shukrani.
 
Habari za asubuhi wadau. Kama kichwa kijielezavyo hapo juu, ninaomba msaada kwa anayejua soko la kuuza asali. Ninayo asali kwa wingi ya nyuki wakubwa lakini tatizo ni soko sijui niipeleke wapi. Kuna baadhi ya watu waliniambia kuna waarabu dar wanachukua lakini hawakuniambia wako maeneo gani. Tafadhari kwa anayejua soko lilipo. Natanguliza shukrani.
We Lofa nini?
Kwani hao waliokwambia kuhusu warabu wameshakufa?
Si uwaulizeze hao hao?
Usiwe na akili mbovu Kama wafuasi wa ukawa ebo!!!!
 
Nashukuru kwa msaada wako! ushauri wako ni mzuri pia, ndipo kiwango chako kilipofikia!
 
We Lofa nini?
Kwani hao waliokwambia kuhusu warabu wameshakufa?
Si uwaulizeze hao hao?
Usiwe na akili mbovu Kama wafuasi wa ukawa ebo!!!!

Kweli ccm pumzi imekata yaani mtu anauliza swali kwa ustaarabu halaf unajibu kwa matusi.... Sishangai maaana wote nyie ni watoto wa mkapa
 
Kweli ccm pumzi imekata yaani mtu anauliza swali kwa ustaarabu halaf unajibu kwa matusi.... Sishangai maaana wote nyie ni watoto wa mkapa

Ahahaaaaaa.
Kausha tumchangamshe dogo bhana.
Hapa kazi tu.
 
Naitwa Christopher Kadendula kutokea kampuni inaitwa Central Park Bees Limited, iliyopo dodoma. Sisi pia tunanunua asali kutoka kwa wakulima kama wewe.
Tuwasiliane kupitia 0718513302 au email ckadendula@centralparkbees.co.tz .. Pia unaweza kutembelea tovuti yetu kwa taarifa zaidi kuhusu ufugaji nyuki wa kisasa www.centralparkbees.co.tz
Karibu

Nashukuru mkuu, nitakutafu kwa email kwa maana niliko kwa simu haitafaa mkuu.
 
We Lofa nini?
Kwani hao waliokwambia kuhusu warabu wameshakufa?
Si uwaulizeze hao hao?
Usiwe na akili mbovu Kama wafuasi wa ukawa ebo!!!!

Wewe kama umelaaniwa na Mama yako, peleka hiyo laana uko kuzimu ukafie uko na domo lako chafu. huu ni uwanja wa kusaidiana, mwenzio kaomba msaada wa kujua, then unachomoka na povu la matusi mala Rofo, mala ukawa, wapi na wapi katika uzi huu? jitu zima linatembea uchi mtandaoni!! kalipige mswaki hilo domo lako
 
Wewe kama umelaaniwa na Mama yako, peleka hiyo laana uko kuzimu ukafie uko na domo lako chafu. huu ni uwanja wa kusaidiana, mwenzio kaomba msaada wa kujua, then unachomoka na povu la matusi mala Rofo, mala ukawa, wapi na wapi katika uzi huu? jitu zima linatembea uchi mtandaoni!! kalipige mswaki hilo domo lako
Fool!!!!
 
Naitwa Christopher Kadendula kutokea kampuni inaitwa Central Park Bees Limited, iliyopo dodoma. Sisi pia tunanunua asali kutoka kwa wakulima kama wewe.
Tuwasiliane kupitia 0718513302 au email ckadendula@centralparkbees.co.tz .. Pia unaweza kutembelea tovuti yetu kwa taarifa zaidi kuhusu ufugaji nyuki wa kisasa Central Park Bees Ltd - Home of Beekeepers | Beehive Management, Swarm Removal, Training, Site Survey, Pollination Services Bees Products
Karibu

Ubarikiwe mkuu kwa kwenda moja kwa moja kwenye hoja ya msingi ya kumsaidia Mkulima wa Asali.
Kazi kwake sasa,na asiwe mbabaishaji
 
Habari za asubuhi wadau.

Kama kichwa kijielezavyo hapo juu, ninaomba msaada kwa anayejua soko la kuuza asali. Ninayo asali kwa wingi ya nyuki wakubwa lakini tatizo ni soko sijui niipeleke wapi. Kuna baadhi ya watu waliniambia kuna waarabu dar wanachukua lakini hawakuniambia wako maeneo gani.

Tafadhari kwa anayejua soko lilipo.

Natanguliza shukrani.

pinda.......aka mzee wa wapigwe tu
 
Naitwa Christopher Kadendula kutokea kampuni inaitwa Central Park Bees Limited, iliyopo dodoma. Sisi pia tunanunua asali kutoka kwa wakulima kama wewe.
Tuwasiliane kupitia 0718513302 au email ckadendula@centralparkbees.co.tz .. Pia unaweza kutembelea tovuti yetu kwa taarifa zaidi kuhusu ufugaji nyuki wa kisasa Central Park Bees Ltd - Home of Beekeepers | Beehive Management, Swarm Removal, Training, Site Survey, Pollination Services Bees Products
Karibu

Halafu Chris nimeona kwenye mtandao wenu mambo meengi sana.
Ila nikifuatilia bado sijaona sehem kuna kifaa cha kupimia asali,yaani kama mie nataka kifaa cha kupimia asali ili kujua ni yenyewe au ubuyu,je mnakuwa na hivi vifaa au ndio tuendelee kupima kwa kumimina na kuchoma moto
 
Halafu Chris nimeona kwenye mtandao wenu mambo meengi sana.
Ila nikifuatilia bado sijaona sehem kuna kifaa cha kupimia asali,yaani kama mie nataka kifaa cha kupimia asali ili kujua ni yenyewe au ubuyu,je mnakuwa na hivi vifaa au ndio tuendelee kupima kwa kumimina na kuchoma moto

Hicho kifaa tunacho kinaitwa PORTABLE REFRACTOMETER . Tuwasiliane zaidi kwa number ya simu au email nliyotoa hapo ilikuongelea bei yake na jinsi gani utakipata.
 
We Lofa nini?
Kwani hao waliokwambia kuhusu warabu wameshakufa?
Si uwaulizeze hao hao?
Usiwe na akili mbovu Kama wafuasi wa ukawa ebo!!!!

Kuwa mstaarabu jamaa kaomba msaada na silazima uchangie kama huna cha kuchangia.Wachie wengine wenye miyo Safi watamsaidia.
 
Back
Top Bottom