Naomba msaada kuhusu simu ya Maxwest Z5

Naomba msaada kuhusu simu ya Maxwest Z5

richy17

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
57
Reaction score
4
Heshima kwenu wana jamvi. Naomba msaada kwa mwana jamvi yoyote anayeifahamu kwa undani simu ya Maxwest z5. Je! ni simu nzuri in general ?.

kweli ikiwa mpya kwenye box inaweza fika 950,000 pesa za kitanzania?

Mwenye kuijua hii simu au commodity za maxwest naomba anijuze.

cheers!!
 
Huko nishaiangalia..nlichotaka kujua hapa ni mtu aliyewahi itumia aniambie ilivyo..inavyofunction.
 
hii ni mid-range phablet tu. haiwezi uzwa bei hiyo. kutokana na specs zake maybe iuzwe tsh 400-500,000 tu brandnew. sijawahi itumia ila nahisi itakua nzuri..
 
hio simu usinunue sababu ni hii

haina frequency ya 2100 ya 3g hivyo itakupa tabu hapa tanzania sababu mitandao yetu wanatumia sana. 850 na 1900 zinatumika lakini sio sana.

pia kioo chake na processor ni vya low end smartphone vyovyote itakavyouzwa isizidi laki 3
 
Dah yani ndo nlikuwa nataka nitoe pesa.asante kwa kunitoa tongo mkuu.
 
Back
Top Bottom