Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Nilikuwa nauliza hivi, nimemaliza chuo Mwezi huu..
Matokeo bado hayajatoka mpaka mwezi wa nane.
Je kwa mfano nataka kuandika barua mahali Fulani nikiwa na Lengo la kujitolea...
Nina takiwa kuambatanisha kitu gani ili kuthibitisha kuwa na taaluma ya kazi husika??
Ahsante karibuni kwa ushauri mzuri
Matokeo bado hayajatoka mpaka mwezi wa nane.
Je kwa mfano nataka kuandika barua mahali Fulani nikiwa na Lengo la kujitolea...
Nina takiwa kuambatanisha kitu gani ili kuthibitisha kuwa na taaluma ya kazi husika??
Ahsante karibuni kwa ushauri mzuri