Naomba msaada juu ya maombi yangu ya Transfer

Naomba msaada juu ya maombi yangu ya Transfer

jofizo

Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
35
Reaction score
8
Habari zenu wakuu nimeombaa Transfer DIT lakini siku ya kwanz nilimkuta Muhasibu akanambia niandike barua alafu nirudi siku inayofuata.

Niliporudi nilimuon Registrar lakini registrar alinambia pako full ila barua ilibaki nikaenda kuomba Chuo cha Ardhi, sasa leo DIT wamenambia nafasi ipo nikachukue Admission Letter.

Vipi sasa ardhi wakinikubalia naweza kupiga chini Transfer moja?
 
apo utaangalia mwenyew unapenda kwenda wap maana utaposajiliwa ndipo patakua panakuhusu uko kwingine ata wakisema nafasi ipo amna tatzo kikubwa umejiregister wap, afu icho chuo kitume jina lako Tcu kabla ya tar18
 
nadhani mkuu,sababu nia yako ilikuwa ni kufanya transfer kwenda DIT bas amna haja ya kuwaskizia ARDHI cha kufanya fanya utaratibu uendlee na hao DIT kuliko kuendlea kusubir ardhi mana unaweza ukakosa.si umepata nafasi dit bas nenda uko mkuu.
 
apo utaangalia mwenyew unapenda kwenda wap maana utaposajiliwa ndipo patakua panakuhusu uko kwingine ata wakisema nafasi ipo amna tatzo kikubwa umejiregister wap, afu icho chuo kitume jina lako Tcu kabla ya tar18
Ahsante mkuu
 
nadhani mkuu,sababu nia yako ilikuwa ni kufanya transfer kwenda DIT bas amna haja ya kuwaskizia ARDHI cha kufanya fanya utaratibu uendlee na hao DIT kuliko kuendlea kusubir ardhi mana unaweza ukakosa.si umepata nafasi dit bas nenda uko mkuu.
Mkuu nimekuelew kabisa ahsante san
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom