Habari zenu great thinkers, poleni kwa msiba mkubwa wa kiongozi wetu Mh. Benjamin Mkapa, Mimi ni kijana wenu mtanzania shida yangu kubwa nnaomba msaada kama yoyote anaweza kunisaidia nipate angalau kibarua niweze kujikimu maisha maana nimemaliza chuo level ya diploma tangu 2012.
Tangu kipindi hicho nnapata kazi lakini sio za kudumu ni zile za miezi 4 au 6 imeisha nnarudi mtaani nnaweza kukaa mtaani tena hata mwaka ndio nipate kibarua kingine maisha yamekuwa magumu sana km kuna sehemu unajua unaweza kunisaidia mungu atakubaliki sana elimu yangu diploma business administration.
Tangu kipindi hicho nnapata kazi lakini sio za kudumu ni zile za miezi 4 au 6 imeisha nnarudi mtaani nnaweza kukaa mtaani tena hata mwaka ndio nipate kibarua kingine maisha yamekuwa magumu sana km kuna sehemu unajua unaweza kunisaidia mungu atakubaliki sana elimu yangu diploma business administration.