robbertisaah
Member
- Dec 13, 2019
- 46
- 56
Habari za muda wakuu,
Mimi ni muhitimu wa diploma katika kada ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT) ni mwenyeji wa NJOMBE.
Kiukweli tangu nmalize chuo mwaka Jana nilirud home nikapata part time job za hapa na pale nikafanikiwa kujichanga 1 MILLION asa nnahitaji kwenda kuanza maisha yangu pale Morogoro.
Ninaomba mwenye idea kuhusu biashara Gani au jambo Gani la kimaisha ninaweza nikaenda na kulitimiza Kwa bajeti yangu.
Hiyo pesa ni nje na pesa ya kula kuvaa Kodi na vitu vya kujikimu nikiwa pale means nna reserve ya kulinda uhai nikiwa hapo.
Nawasilisha wakuu
Mimi ni muhitimu wa diploma katika kada ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT) ni mwenyeji wa NJOMBE.
Kiukweli tangu nmalize chuo mwaka Jana nilirud home nikapata part time job za hapa na pale nikafanikiwa kujichanga 1 MILLION asa nnahitaji kwenda kuanza maisha yangu pale Morogoro.
Ninaomba mwenye idea kuhusu biashara Gani au jambo Gani la kimaisha ninaweza nikaenda na kulitimiza Kwa bajeti yangu.
Hiyo pesa ni nje na pesa ya kula kuvaa Kodi na vitu vya kujikimu nikiwa pale means nna reserve ya kulinda uhai nikiwa hapo.
Nawasilisha wakuu