Naomba mnisaidie niweze kuhama

Naomba mnisaidie niweze kuhama

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,076
Wakuu salaam,

Naomba mnipe connection ili niweze kuhama kutoka halmashauri ili nihamie halmashauri x maana naona mfumo wa Ess sina hakika kama itaweza kunisaidia mimi kuhama kama kuna mjuzi wa kunisaidia ili nihame namuona inbox tafadhali
 
Tajiri wa kusini huko kusini si ndo kwenyewe? Ni mwendo wa ufuta korosho na mbaazi.

Uwe makini kuna barua fake nyingi za uhamisho, wanaokutwa nazo wanafunguliwa kesi.

(Barua inatoka ofisi husika lakini inakuwa ya magumashi).
 
Wakuu salaam,

Naomba mnipe connection ili niweze kuhama kutoka halmashauri ili nihamie halmashauri x maana naona mfumo wa Ess sina hakika kama itaweza kunisaidia mimi kuhama kama kuna mjuzi wa kunisaidia ili nihame namuona inbox tafadhali
Unaandika kama vile wote wanaujua huo mfumo? Ma kwamba wote ni watumiishi wa umma ?
 
Wakuu salaam,

Naomba mnipe connection ili niweze kuhama kutoka halmashauri ili nihamie halmashauri x maana naona mfumo wa Ess sina hakika kama itaweza kunisaidia mimi kuhama kama kuna mjuzi wa kunisaidia ili nihame namuona inbox tafadhali
Boss anza tu kununua mshamba
 
Afu hili la kuhusu uhamisho, na most huwa fake, limesemwa leo mahali fulani.
Waajiriwa muwe makini, huko ofisini watu wanatoa barua fake za uhamisho ili wapate chochote kitu, huku mfumo hdutambui uhamisho huo, mwisho wa siku muhusika kinamlambaa.

Kuna mwl wa sec, ana haha na hili la uhamisho fake. Lol
 
Mkuu, jaribu kwanza kwenye mfumo kama inavyohutajika kwa acha janjajanja zitakumaliza.
Sema Kama mfumo unakutatiza usaidiwe
 
Afu hili la kuhusu uhamisho, na most huwa fake, limesemwa leo mahali fulani.
Waajiriwa muwe makini, huko ofisini watu wanatoa barua fake za uhamisho ili wapate chochote kitu, huku mfumo hdutambui uhamisho huo, mwisho wa siku muhusika kinamlambaa.

Kuna mwl wa sec, ana haha na hili la uhamisho fake. Lol
Nimempa angalizo hapo juu awe makini, atamtaja aliyempatia huo uhamisho 😁.
Last week wamekumbwa nalo wengi.
 
Tajiri wa kusini huko kusini si ndo kwenyewe? Ni mwendo wa ufuta korosho na mbaazi.

Uwe makini kuna barua fake nyingi za uhamisho, wanaokutwa nazo wanafunguliwa kesi.

(Barua inatoka ofisi husika lakini inakuwa ya magumashi).
Hii ilimkuta mwalimu fulani kutoka mtwara kahamishiwa mbeya masikini baada ya miezi minne ,anapigiwa simu anaambiwa ni mtoro kazini ikabidi arudi kituo chake cha awali na huku alikuja na mke na alishaanzisha nyumba na maisha mengine ,imebidi amuache mkewe na wahuni nao hawako nyuma kumuumiza mtumishi huyu masikini .

Awe makini sana aisee
 
Hii ilimkuta mwalimu fulani kutoka mtwara kahamishiwa mbeya masikini baada ya miezi minne ,anapigiwa simu anaambiwa ni mtoro kazini ikabidi arudi kituo chake cha awali na huku alikuja na mke na alishaanzisha nyumba na maisha mengine ,imebidi amuache mkewe na wahuni nao hawako nyuma kumuumiza mtumishi huyu masikini .

Awe makini sana aisee
Pole sana kwake.
Wajanja wajanja wamekuwa wengi sana.
 
Back
Top Bottom