Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.
Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??
Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.
Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani. Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??
Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .
Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??
Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.
Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani. Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??
Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .
Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
