Baby Angel
Member
- Sep 9, 2010
- 21
- 0
- Thread starter
- #21
Thanks kwa hili PakaJimmy and nitafanya kama ilivyo ili kuweza kuifanya JamiiForums iendelee zaidi
ok nimekuelewa PakaJimmy kwa ukaribu zaidi,nitafanya km nitakachopaswa kufanya
ok unaruhusiwa kunikumbusha.
Unaweza kkuendelea tu.
karibu
I feel your soul... you need a brother like me
Karibu sana malaika mtoto !
karibu sana....naona kama tunafahamiana ivi.....nishakuona Buguruni?:confused2:
Inawezekana
mimi ni female,what else unataka kujua?[/QUOTE]
Naomba kujua marritual status yako mgeni wetu :A S 8:
mimi ni female,what else unataka kujua?[/QUOTE]
Naomba kujua marritual status yako mgeni wetu :A S 8:
Niko SINGLE
Niko SINGLE
Nice to know lakini naona niishie hapa naogopa kuendelea
..Malizia kabisa ..and AVAILABLE!Niko SINGLE
Yupo reachable endelea tu mdau si ndo kufahamiana huko!!Nice to know lakini naona niishie hapa naogopa kuendelea