Ukishaishi naye baada ya muda inakuwa ndoa tu, maana atakuwa na haki zote za mke wa ndoaWakuu mimi ni Kataa Ndoa ila nahitaji mema ya Ndoa.
Sawa,maamuzi mazuri kwako.Hapana Mkuu, Mapenzi ya kweli sio ndoa bali ni Upendo
MIMI KUMUACHA HUYU MREMBO SIO RAHISI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
💯Hatufundishi uzinzi, do at your own risk
Nimekuelewa Mkuu, tegemea lolote kuanzia sasa.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wa Mujibu wanguMkuu bado hujajibu swali langu.
Uzinzi kwa Mujibu wa nani?
Hakuna mbinu mkuu ni kuhakikisha tu Hajisikii vzrHabari zenu Wakuu,
Naomba mnisaidie jinsi ya kumshawishi Mwanamke aje ghetto tuanze kuishi pamoja bila ya Ndoa.
Kuna Mrembo ana Dini na amenielewa vibaya sana (ananipenda), ila hataki tuishi pamoja mpaka tufunge Ndoa.
Wakuu mimi ni Kataa Ndoa ila nahitaji mema ya Ndoa.
WAKUU NIPENI MBINU ZA KUJITWALIA HIKI KIUMBE CHENYE KILA AINA YA UZURI.
Uzi Tayari.
Moderators naomba tuheshimiane.
Asante sana Mkuu wangu.Muambie unataka mfahamiane vizuri, muambie kusaini mkataba bila kusoma vigezo na masharti ni ushamba.
Muambie sababu zako.
Umsikilize na yeye sababu zake ili muweze kupata middleground.
Yani kama ulikuwa kwenye akili yangu Mkuu.Hakuna mbinu mkuu ni kuhakikisha tu Hajisikii vzr
Yaani mchawi mimba, sio tu anakuja mwenyewe Bali hadi kwao wanamtimua bila mahali anakuja mazima hahahahahahaha
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya MunguBasi kama ni hivyo, namimi kwa mujibu wangu Sizini.
TIT FOR TAT.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue