Kwa nini usiumizwe wakati kila siku mizinga tu, hapo wanaume lazima wakukumbie tu as wanakuona mchunaji na huna mapenzi
mche Mungu naye atakupa nguvu za kuwakataa wanaume wa kuhit and run
Aiseee baba yagu paweke ngunzi la mwindi itakuwa dawa tosha
naomba wana jf mnisaidie njia ambazo zitanisaidia niishi peke yangu bila boyfriend coz kila nikiwa kwenye relation naishia kuumizwa.
Achana na vivula (Boyfriends), jikite zaidi na wazee wanajua ku-handle
Achana na vivula (Boyfriends), jikite zaidi na wazee wanajua ku-handle
mie nimejaribu kumuelewa na namtangazia nia hadharani sitaamumizaHuyo anachosema kwa sie tunaojua kusoma scrolls ni kwamba anahitaji boyfriend vibaya sana kiasi kwamba hawezi kujizuia.
naomba wana jf mnisaidie njia ambazo zitanisaidia niishi peke yangu bila boyfriend coz kila nikiwa kwenye relation naishia kuumizwa.