Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
Kuna mdada mmoja mfanyakazi mwenzang kaolewa ana mme na mtoto mmoja, kinachoniuma ni kwamba huyu mdada anakipato kikubwa kumzidi mmewe sasa akikorofishana na mmewe anaanza kuwaambia wafanyakazi wao kuwa mmewe hana kitu chochote ndani hata nyumba hajaweka hata mfuko cement so asiwababaishe.
Nimshauri nn huyu mdada ili aachane na tabia hiì make weng hawajaipenda
Kuna mdada mmoja mfanyakazi mwenzang kaolewa ana mme na mtoto mmoja, kinachoniuma ni kwamba huyu mdada anakipato kikubwa kumzidi mmewe sasa akikorofishana na mmewe anaanza kuwaambia wafanyakazi wao kuwa mmewe hana kitu chochote ndani hata nyumba hajaweka hata mfuko cement so asiwababaishe.
Nimshauri nn huyu mdada ili aachane na tabia hiì make weng hawajaipenda
Aache ushamba hela nini bwana
kuwa na pesa sio unakuwa na kila kitu katika dunia hii
awe makini na ndoa yake isijevunjika
ipo siku mumewe atakuwa na hela zaidi ya zake
asubiri kusimangwa pia
Sa' bi Aisha kwanini usijali hamsini zako? we kwani ni shahidi wa mahsuiano yao?
huyo ni mshenzi wa tabia
tena ni mshamba na hizo pesa kazishika ukubwani
we utamuanikaje mume wako mbele za watu eboo
kaniudhi sana..
we mwambie aache hiyo tabia watu wanamchora..
ni wajibu wake pia kujihusisha na maswala ya nyumbani, kama mume hajaweka hata mfuko wa cement kwani tatizo ni nini?
si aliapa katika shida na raha..mxiiiiiiiiiiiii binadamu wengine ovyoo ushamba huo wa kushika pesa ukubwani
mbona wanaume wakijihusisha 100% hawatangazii ulimwenguu..aache utoto huyo
tafuta lugha nzuri ya kumwambia ila ujumbe ndo huo.
Kuna mdada mmoja mfanyakazi mwenzang kaolewa ana mme na mtoto mmoja, kinachoniuma ni kwamba huyu mdada anakipato kikubwa kumzidi mmewe sasa akikorofishana na mmewe anaanza kuwaambia wafanyakazi wao kuwa mmewe hana kitu chochote ndani hata nyumba hajaweka hata mfuko cement so asiwababaishe.
Nimshauri nn huyu mdada ili aachane na tabia hiì make weng hawajaipenda