Krn
Member
- Jun 28, 2019
- 21
- 5
Samahani wadau
anayefaham hii kozi ya community development anijuze kidogo mana bado npo kwenye Giza Nene je mtu ukisoma hiyo kozi utafanya kazi ipi mim ni mwihitimu wa kidato cha sita 2019 mchepuo wa HGK na nimepata division two ya 11 so natalajia kufanya maombi ya chuo tafadhali anayefaham hyo kozi anijuze asanteni
anayefaham hii kozi ya community development anijuze kidogo mana bado npo kwenye Giza Nene je mtu ukisoma hiyo kozi utafanya kazi ipi mim ni mwihitimu wa kidato cha sita 2019 mchepuo wa HGK na nimepata division two ya 11 so natalajia kufanya maombi ya chuo tafadhali anayefaham hyo kozi anijuze asanteni