Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Habarini wana jamvi, kwenye maswala ya stock markets kuna vitu kadhaa nahitaji kujua maana zao, vitu vyenyewe ni :
1. ETFs (exchange traded funds)
2. Mutual funds
3. IQ options
So please kama kuna mtu ana ujuzi na hivyo vitu naomba anifafanulie na nikipata ukakasi kwenye vingine nitakuja kuomba msaada wenu.
Naomba kuwasilisha!
1. ETFs (exchange traded funds)
2. Mutual funds
3. IQ options
So please kama kuna mtu ana ujuzi na hivyo vitu naomba anifafanulie na nikipata ukakasi kwenye vingine nitakuja kuomba msaada wenu.
Naomba kuwasilisha!