- Thread starter
- #101
Pesa zangu kidogo nilizo nazo, halafu ukichanganya na mshahara wangu kama presidaa na vijirupurupu vya safari vinanitosha na familia yangu. halafu isitoshe hata nikistaafu bado naendelea kutunzwa na serikali mpaka kufa kwangu, sasa tamaa nitakuwa nayo ya nini?