- Thread starter
- #81
Udikteta hauwezi kukuza uchumi hata dakika moja!
wewe ulisoma shule gani? na je ktk somo la historia ulipas au ulifeli ,nakukumbusha tu kwa faida yako mpaka sasa hivi kuna nchi zinaendeshwa kidikteta na uchumi wao unapaa mfano ni china au hapo afrika ni libya wewe uko dunia gani?