mmmmh si sawa!
Mbona wa Zuma kaliwa na anawalinzi
Wa Mugabe kabanjuliwa na ana walinzi
Wa Mswati kapigwa kitu na anawalinzi
Ukimuwekea walinzi haohao walinzi watambanjua
We muache huru, kama siyo kicheche atakueheshimu, kama ni kicheche hata ufanye nini atachecheka tu