Ombeni Charles
Member
- Apr 22, 2011
- 45
- 7
Mara nyingi nimezoea kuona/kusikia kila kunapotokea fujo lazima utasikia kumetokea mauaji ya RAIA yanayosababishwa na jeshi letu la polisi, na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa zaidi tu ya serikali kutoa kifuta machozi kwa wafiwa. Kwa bahati nzuri humu JF tunao wasomi wanaojua sheria vizuri, naomba munieleweshe sheria inasemaje kuhusu jeshi la polisi je, polisi anaruhusiwa kuua raia ambaye hana silaha yoyote? Nawakilisha kwenu......