Kipindi tunatuma maombi kwenye TCU guidebook, BAED ilikuwa na mkopo, lakn uki login kwenye profile yako, utakuta kwenye chart ya possible loan pameandkwa 0,
Kipindi tunatuma maombi kwenye TCU guidebook,BAED ilikuwa na mkopo,lakn ukilog in kwenye profile yako,utakuta kwenye chart ya possible loan pameandkwa 0,what is this!!!!!!?
kweli kaka kabisa mwenyewe nimeingia jana nikakuta hvyo nikapanic .lakini nahsi mtandao utakuwa hujatulia tu.na kuhusu mkopo utakuwepo tu coz ni priority hyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.