Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Huu mpango wa vijana ote wanao taka kuingia vyuo vikuu mbona haufuati utaratibu wa kijeshi? ninamaanisha kupima afya ya mlengwa kabura ya kuanza mafunzo, nasema haya ni kutokana na maelezo ya jeshi lenyewe kuwa binti aliye kufa amekufa kutokana na upungufu wa damu ambao ni tatizo lake la sikunyingi. sasa kunahajagani ya kupokea wagonjwa na kuwapa mafunzo mazito kama hayo? kwani hata wao asikari akiwa mgonjwa haruhusiwi kwenda Depo pia hata Gereza halipokei mahabusu akiwa mgonjwa sasa iweje kwa Jeshi lipokee wagonjwa?