Kozi gani ni bora zaidi kati ya IT na ICT kwa level ya degree

Zote nzuri chagua moja unayoipenda na ambayo utaimudu kwa sasa, kwani uchaguzi wa kozi unategemea mtu anataka nini, pia fuatilia juu ya kazi zinazofanywa na mhitimu wa kozi husika kisha uchague itayokufaa kwani hamna kozi bora bali kila kozi ni bora katika condition mbalimbali
 
Wakuu pole na majukumu.

Mimi nimehitimu kidato cha sita mwaka huu natarajia kujiunga na chuo mwezi wa kumi. Naomba natamani kujua kozi gani ni nzuri na yenye nafasi kubwa ya kujiajiri nikimaliza masomo yangu.

Kozi hizo ni kozi ya IT na kozi ya ICT

Naomba ushauri wenu wanaJF

ASANTE
Kwanza kabla hujachagua kozi interest yako ni nini?
 
Kwanza kabla hujachagua kozi interest yako ni nini?
Mimi napendelea kusoma maswala ya Information technology na Networks sasa nashindwa kuelewa nichukue kozi gani maana baadhi ya watu wananambia IT na ICT zote ni sawa tu lakin naona kuna baadhi ya vyuo wanazitenganisha hizi kozi pia nikijalibu kuangalia ada ya kusoma ICT Mfano chuo cha MUST ni nafuu kuliko ada ya kusoma IT pale IAA Arusha

Nimeamua kuleta changamoto yangu kwa wana JF nikiamini nitapata mawazo mazuri ili nijue ni kipi niamue

NB: Nataka nisome kozi ambayo ina uwanda mkubwa wa kujiajiri kwa Tanzania ya sana na ya mbeleni
 
Zote nzuri chagua moja unayoipenda na ambayo utaimudu kwa sasa, kwani uchaguzi wa kozi unategemea mtu anataka nini, pia fuatilia juu ya kazi zinazofanywa na mhitimu wa kozi husika kisha uchague itayokufaa kwani hamna kozi bora bali kila kozi ni bora katika condition mbalimbali
mkuu kama una faham chochote labda kuhusu kazi zinazofanywa na mtu wa IT na mtu wa ICT naomba unijuze plz
 
Wakuu pole na majukumu.

Mimi nimehitimu kidato cha sita mwaka huu natarajia kujiunga na chuo mwezi wa kumi. Naomba natamani kujua kozi gani ni nzuri na yenye nafasi kubwa ya kujiajiri nikimaliza masomo yangu.

Kozi hizo ni kozi ya IT na kozi ya ICT

Naomba ushauri wenu wanaJF

ASANTE
Soma IT ndo baba lao ICT unaikuta uko uko ndani Ya IT SEMA jiandae na maesabu
 
Back
Top Bottom