ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,786
Mwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?Mwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
Nilitaman kujua muundo wa kiutawala hapo OFISINI..boss anakuwa na cheo gani anaitwaje au ndo mdhibiti mkuu wa ubora wa elimu Wilaya??then chini yake Kuna vitengo gani hasa vya kiutendaji achana na hivi common tunavyovijua soteNyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?
Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.
Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Unaombaje hiyo nafasiNyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?
Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.
Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
una uzoefu wakati unatumia neno mdhibiti badala mthibitiUnaombaje hiyo nafasi
Wanapewagwa oc ya shilingi laki 5 kila baada ya miezi miwili..hapo kuna gari mnunur mafuta,service, umeme,maji n.k ukitaka kufa njaa fanya kazi ofisi hizoMwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
Mbona wadau hamnyoshi maelezoNyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?
Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.
Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Mm naona hakuna mwenye ufahamu wa kutosha kuhusiana na uthibiti ubora wa shuleMwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
OC ya laki tano kila baada ya miezi miwili hii binafsi sikubaliani nayoWanapewagwa oc ya shilingi laki 5 kila baada ya miezi miwili..hapo kuna gari mnunur mafuta,service, umeme,maji n.k ukitaka kufa njaa fanya kazi ofisi hizo
Shule ya sekondari inapokea OC ya laki 3 hadi 1M kulingana na idadi ya wanafunzi.OC ya laki tano kila baada ya miezi miwili hii binafsi sikubaliani nayo
Kwani uthibiti ubora na sekondari vinaendanaje?Shule ya sekondari inapokea OC ya laki 3 hadi 1M kulingana na idadi ya wanafunzi.
Idara ya hovyo sana hiyo.
Kazi ya udhibiti ubora ni nini?Kwani uthibiti ubora na sekondari vinaendanaje?
Ukaguzi wa nyaraka za ufundishaji kama andalio la somo, nukuu za somo, class journey, log book na taarifa muhimu kutoka kwa wakuu wa idara hasa shuleniKazi ya udhibiti ubora ni nini?
Nimemuuliza huyo makusudi maana anauliza uhusiano wa udhibiti ubora na shule za sekondari.Ukaguzi wa nyaraka za ufundishaji kama andalio la somo, nukuu za somo, class journey, log book na taarifa muhimu kutoka kwa wakuu wa idara hasa shuleni
Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app
Anakula zake salary ya TGTS B huko mpwayungu villagempwayungu village