Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,148
Sekta ya utalii ni sekta muhimu hapa Tanzania, nimekutana na watu kadhaa, wengi wakiwa vijana wakifanya hizo shughuli lakini wakiwa hawana utambulisho rasmi wa shughuli zao. Kupitia jukwaa hili ningeomba wenye kujua sekta hiyo wakatupa mwongozo katika suala hili kwa kuzingatia mambo haya...
-Sifa za msingi.
-Mafunzo ya kupitia.
-Gharama za kulipa.
-Mamlaka zinazohusika
-Taratibu zingine za kufuata.
-Sifa za msingi.
-Mafunzo ya kupitia.
-Gharama za kulipa.
-Mamlaka zinazohusika
-Taratibu zingine za kufuata.