Kuna ulazima wa kwenda kwenda kwenye mabalaza ya kata?Kwanza wewe ni dini gani ? Kama ni mkristi au muislamu mnatakiwa muende kwenye mabaraza ya usuruhishi ya dini then ikishindikana mtaenda baraza la kata ikishindikana utapiwa F.3 utaenda mahakamani utaomba maombi ya talaka Kama ujaelewa ni pm
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nimesoma mstari kwa mstari wa huyu jamaa, kwa maono yangu kuna mawili huenda mke wake anakunywa pombe ama kuna kitu alikifanya au amekifinya kinachomchanganya akili. Huyo mwanamke akili yake haipo sawa, inatakiwa jamaa akirudi likizo akae atulie na kumuita sehemu nzuri ya utulivu ajaribu kuongea nae kwa kumdadisi atagundua tu shida iko wapi huenda ni kwa sababu ya msiba wa Mama yake au kuna mengine nyuma ya paziaWanawake sometimes wasumbufu, taratibu za talaka zipoje
Tangu 2011 ndo unatoa talaka sa hivi tulikuonya sana mwanamke ana kazi bado unamtumia 1800000 analalamika haitoshi?tulikwambia umejitwisha gunia la misumari jitue we ukakaza shingo haya sasa pambana
Nakuwaje mke alafu naandika hivoMnajuana? Au wewe ndiyo mke?
Nakuwaje mke alafu naandika hivo
Aaaash,Mkuu unapenda ubuyuuSawa lakini unaekea kujua details za kinachoendelea hadi kuweka kiasi cha pesa alichokuwa anatuma kwa mkewe.
Aaaash,Mkuu unapenda ubuyuu
Hamna bwana simfahamu hatahapana aisee ilishawahi kutokea mume kuja kulalama humu kuhusu ndoa yake bila kujua kama mke naye ni member. Mke akajibu mapigo basi wakaanza kujibizana vibaya hadi wakaombwa mambo yao wakazungumze faragha badala ya kuyaweka hadharani. Inaelekea unawafahamu wahusika na muanzisha uzi baada ya kukusoma sijui kama atarudi.