Jizo33 New Member Aug 8, 2023 1 0 Sep 22, 2023 #1 Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne. (NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)
Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne. (NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)