antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,158
Duuh... ana sifa gani ya kufanya mlaji/mteja atoe mpunga kiasi hiko?!Achana na kuchi sasa , kuna huyu kuku anaitwa Brahma wanauzwa mmoja kwa 1.5mView attachment 1629710
Duuh... ana sifa gani ya kufanya mlaji/mteja atoe mpunga kiasi hiko?!Achana na kuchi sasa , kuna huyu kuku anaitwa Brahma wanauzwa mmoja kwa 1.5mView attachment 1629710
Kwa Sasso sijui ila kroiler ni multpurpose, kwa maana wamezalishwa kutokana na kuku wa nyama na kuku wa asili, Ukiwahudumia vizuri wanafaida usiogope comment za watu ambao hajawahi kuwafuga hawa kuku, wewe ingia jaribu, funga kwa lengo la kutotolesha vifaranga hapo ndo utaona faida, niliwahi kuwafunga kipindi fulani na tray ya mayai nilikuwa nauza elfu 15Hawa kuku chotara sasso na Kuroiler wametengenezwa kwa minajili ya kutumika kama kuku wa nyama. Ndiyo sababu wanakula sana chakula na huwa na miili mikubwa ndani ya muda mfupi.
Bahati mbaya sana ni kuwa wasambazaji wa kuku hawa hupotosha au kutowaambia ukweli wafugaji. Matokeo yake ni kuwa wafugaji wengi zaidi wa kuku hapa nchini bila kujua hufuga kuku hao wa nyama huku wakiwa na matarajio ya kupata biashara ya mayai.
Kuna training ilifundishwa kuwa kuku hawa hutaga mayai kati ya 85 - 95 hivi kwa mwaka. Hapo usitegemee kupata faida hata kidogo.
Kwa Sasso sijui ila kroiler ni multpurpose, kwa maana wamezalishwa kutokana na kuku wa nyama na kuku wa asili, Ukiwahudumia vizuri wanafaida usiogope comment za watu ambao hajawahi kuwafuga hawa kuku, wewe ingia jaribu, funga kwa lengo la kutotolesha vifaranga hapo ndo utaona faida, niliwahi kuwafunga kipindi fulani na tray ya mayai nilikuwa nauza elfu 15
Kama wakipata chakula vizuri kuanzia miezi mitanoKwa uzoefu wako wanaanza kutaga wakiwa na miezi mingapi!?
Usijaribu maana vifaranga wanatoka dhaifu sana ,kama unatak kumix mbegu tumia Sasso na kienyeji kuku wako watakuwa wazuri sanaHivi hawa Kuroiler, jike anaweza kupandwa na jogoo wakienyeji na akataga mayai pia vp kuhusu jogoo wa kuroler anaweza kumpanda mtetea wakienyeji na akataga AU NILAZIMA WAPANDANE QENYEWE KWA WENYEWE?
Wanataga vizuri tu na vifaranga wanatoka vizuri kabisa mimi nimewafugaHivi hawa Kuroiler, jike anaweza kupandwa na jogoo wakienyeji na akataga mayai pia vp kuhusu jogoo wa kuroler anaweza kumpanda mtetea wakienyeji na akataga AU NILAZIMA WAPANDANE QENYEWE KWA WENYEWE?
Nashukuru mkuu je hawa croiler unaweza kuwafuga kama kuku wakienyeji yn ukawaachia wakatoka ndani ya banda wakazurula nawenzao japo ndani ya uzio au wao nindani kwa ndani tuWanataga vizuri tu na vifaranga wanatoka vizuri kabisa mimi nimewafuga
Shukuru mkuu nitakifanyia kazi pia hilo lakutumia combination ya SASSO na wakienyejiUsijaribu maana vifaranga wanatoka dhaifu sana ,kama unatak kumix mbegu tumia Sasso na kienyeji kuku wako watakuwa wazuri sana
Bila shaka mkuuNashukuru mkuu je hawa croiler unaweza kuwafuga kama kuku wakienyeji yn ukawaachia wakatoka ndani ya banda wakazurula nawenzao japo ndani ya uzio au wao nindani kwa ndani tu
Kwa nyama kwa biashara Saso utauza sana lakini nao wanakula balaa gharama hiyoMkuu, kama mi nahataji kufuga shambani kwangu kwa ajili ya kula (nyama), unashauri sasso badala ya kroiler, au?
Hawa kuku chotara sasso na Kuroiler wametengenezwa kwa minajili ya kutumika kama kuku wa nyama. Ndiyo sababu wanakula sana chakula na huwa na miili mikubwa ndani ya muda mfupi.
Bahati mbaya sana ni kuwa wasambazaji wa kuku hawa hupotosha au kutowaambia ukweli wafugaji. Matokeo yake ni kuwa wafugaji wengi zaidi wa kuku hapa nchini bila kujua hufuga kuku hao wa nyama huku wakiwa na matarajio ya kupata biashara ya mayai.
Kuna training ilifundishwa kuwa kuku hawa hutaga mayai kati ya 85 - 95 hivi kwa mwaka. Hapo usitegemee kupata faida hata kidogo.
THabari wadau!! Kuna ukweli gani kuhusu utagaji wa hawa kuku chotara aina ya SASSO na Kuroiler!
Inavyosemekana kuwa wanachelewa sana kutaga na hawatagi mayai mengi, kama ukitaka kufuga hawa chotara kwa biashara ya mayai hawafai.
Kuna ukweli wowote kuhusu hilo
Hawa ni Dual purpose ni kwa ajili ya nyama na mayai sema sasa wengi huwa hawako balanced yaani wanaegemea sana kwenye nyama kuliko mayai.Habari wadau!! Kuna ukweli gani kuhusu utagaji wa hawa kuku chotara aina ya SASSO na Kuroiler!
Inavyosemekana kuwa wanachelewa sana kutaga na hawatagi mayai mengi, kama ukitaka kufuga hawa chotara kwa biashara ya mayai hawafai.
Kuna ukweli wowote kuhusu hilo
Hawa hawafai kwa mayai, mayai fuga layers tu, hawa sana ni kwa nyama,Hata mimi nahitaji kujua hili jambo.
Kuna rafiki yangu mmoja aliniambia anafuga kuku hawa kwa ajili ya kutaga mayai.
Kauli yake hiyo iliniachia maswali kuhusu maslahi yake wakifugwa kwa ajili ya mayai.
Hawa ni Dual, na wamecrosiwa kwa kuhusishha kuku wa nyama, so wana damu ya kuku wa nyama na kuku wa mayai, sio wazuri kwa mayaiHawa kuku chotara sasso na Kuroiler wametengenezwa kwa minajili ya kutumika kama kuku wa nyama. Ndiyo sababu wanakula sana chakula na huwa na miili mikubwa ndani ya muda mfupi.
Bahati mbaya sana ni kuwa wasambazaji wa kuku hawa hupotosha au kutowaambia ukweli wafugaji. Matokeo yake ni kuwa wafugaji wengi zaidi wa kuku hapa nchini bila kujua hufuga kuku hao wa nyama huku wakiwa na matarajio ya kupata biashara ya mayai.
Kuna training ilifundishwa kuwa kuku hawa hutaga mayai kati ya 85 - 95 hivi kwa mwaka. Hapo usitegemee kupata faida hata kidogo.
Hahahaa huu uzi umenikumbusha 2016-2017 nilikuwa nafuga kuku aina ya sasso ndio walikuwa wameingia! hawa kuku sijawahi kuona nilifuga kuku 250 nami nililenga kupata mayai lakini yupo jamaa aliitwa ADAM NYAMANGE mkurugenzi wa mtandao wa kijani kibichi alinitembelea baada ya kuona kwenye mitandao nafuga kuku wakubwa sana alivyofika kuku wangu walikuwa na miezi 5 na walianza kutaga na utagaji wake sio MZURI sana huwa wanaruka Siku lakini wana maumbo makubwa sana! akaniambia kwa mayai hutafanikiwa weka nguvu kwenye kuwahudumia uuze nyama!!
Nani ana uzoefu na Kenbro?Kweli kabisa hata mimi nafuga kroiler wanaangusha mayai ni balaa
Kuku aina ya saso/sasu wanakuwa na maumbo makubwa utagaji wa mayai kwao ni hafifu sana wana uzito na hivyo wanafaa kwa biashara ya nyama unaweza uza Sasu mmoja hadi kwa 40,000tsh na mtu akakubali tu maana wana uzito mkubwa.
Nani anauzoefu na Kuku Kenbro?Hahahaa huu uzi umenikumbusha 2016-2017 nilikuwa nafuga kuku aina ya sasso ndio walikuwa wameingia! hawa kuku sijawahi kuona nilifuga kuku 250 nami nililenga kupata mayai lakini yupo jamaa aliitwa ADAM NYAMANGE mkurugenzi wa mtandao wa kijani kibichi alinitembelea baada ya kuona kwenye mitandao nafuga kuku wakubwa sana alivyofika kuku wangu walikuwa na miezi 5 na walianza kutaga na utagaji wake sio MZURI sana huwa wanaruka Siku lakini wana maumbo makubwa sana! akaniambia kwa mayai hutafanikiwa weka nguvu kwenye kuwahudumia uuze nyama!!
Nilianza kutafuta masoko kuku walikuwa wakubwa sanaa tetea kg 4 nilikuwa na majogoo 2 wenye kilo 5.5 na kwa ladha sijawahi kula kuku watamu kiasi hicho!! kwa ukubwa wa wale kuku nilipata tenda bodi ya mikopo mwenge! na walinunua kuku mmoja sh 35000 mpaka 40000 jogoo wale wawili aliwanunua mzungu mmoja ambaye aliagiziwa kwangu akajitambulisha kuwa anashughulika na kuku wa sasso na chakula cha SILVERLAND alinunua mmoja 60000 na walipelekwa sabasaba!! nisiongope mradi ule niliufurahia kilichonikera nilipotaka vifaranga awamu nyingine sikupata tena baadae nikaona hawapatikani saso f1 nikahamia kwenye kuroiler!
Kuroiler mayai wanataga vizuri sana ila ladha na ukubwa hawajafikia kwa sasso,, hivi nilipumzika kwa kuku naanza mwaka huu!! Sasa niko kwenye nguruwe na mbuzi wa kisasa wa nyama!!
Ufugaji ukizingatia mbegu bora, chakula cha kutosha, mabanda rafiki, chanjo kwa wakati , research ya masoko ,kufuga kwa muendelezo yaani ujibrand haswaa kila wakati wateja wako wasikose bidhaa ufugaji unalipa ila uhamue haswaaa.
Jitahidi ufuge pure layers au pure broilers achana na machotara labda kama una hela za kuchezea.Habari wadau!! Kuna ukweli gani kuhusu utagaji wa hawa kuku chotara aina ya SASSO na Kuroiler!
Inavyosemekana kuwa wanachelewa sana kutaga na hawatagi mayai mengi, kama ukitaka kufuga hawa chotara kwa biashara ya mayai hawafai.
Kuna ukweli wowote kuhusu hilo