Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,525
Wakuu, kuna dogo hapa anasumbuliwa na minyoo yaana anasema anahisi kuna mdudu anachezacheza kwenye njia ya haja kubwa hata akienda choo bado hali inaendelea/ hatoki.
Binafsi nakumbuka nipo under 10 ages nilisumbuliwa sana na hii kitu na sijui ilipotea vipi maana nilikuwa hata sijari. So huyu dogo imemkuta hii na anakosa raha hapa naomba wajuzi mlitolee ufafanuzi hili.
Asante
Binafsi nakumbuka nipo under 10 ages nilisumbuliwa sana na hii kitu na sijui ilipotea vipi maana nilikuwa hata sijari. So huyu dogo imemkuta hii na anakosa raha hapa naomba wajuzi mlitolee ufafanuzi hili.
Asante