Dark Light
Member
- Jan 6, 2019
- 8
- 5
Habari wakuu poleni na majukumu pia hongereni kwa mapunziko ya weekend.
Naomba kufahamu ili mtu asajiliwe kuwa private candidate wa form four au six anatakiwa afuate taratibu zipi na awe na vigezo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu ili mtu asajiliwe kuwa private candidate wa form four au six anatakiwa afuate taratibu zipi na awe na vigezo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app