Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
Wakuu salaam,
Naona hatari ya sheria mbele yangu inanikalibia kutokana na mambo kadhaa ambayo nimeyapitia kazini. Naomba kufahamishwa jinsi gani naweza kuwa na mwanasheria mapema ili kama hali ikitokea niwe na mtetezi haraka iwezekanavyo pale atakaposikia tu nimekamatwa na polisi.
Naomba kuelezwa ,maana nawasikia watu wanasema wana Wanawasheria wao..!
Naona hatari ya sheria mbele yangu inanikalibia kutokana na mambo kadhaa ambayo nimeyapitia kazini. Naomba kufahamishwa jinsi gani naweza kuwa na mwanasheria mapema ili kama hali ikitokea niwe na mtetezi haraka iwezekanavyo pale atakaposikia tu nimekamatwa na polisi.
Naomba kuelezwa ,maana nawasikia watu wanasema wana Wanawasheria wao..!