Kwetusongea
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 107
- 38
Naplan kufanya biashara maeneo ya Mbezi Mwisho.
Anaejua utaratibu wa kupata eneo kwaajili ya kuweka meza ya biashara hapo Mbezi naomba anielekeze.
Anaejua utaratibu wa kupata eneo kwaajili ya kuweka meza ya biashara hapo Mbezi naomba anielekeze.