Hii Halifa ya upungufu wa testosterone kwa wanaume imekuwa kubwa Duniani sasa. Wanasema sababu ni:
1. Uzito mkubwa
2. Vitambi
3. Kutofanya mazoezi
4. Matumizi ya madawa ya kupunguza maumivu. Nk
Ninachotaka kujua kwa ambao wanatumia au walishawahi kutumia sindano ya testosterone.
1. Unachoma mara ngapi kwa mwezi.
2. Inakaa kwa muda gani ndani ya mwili.
3. Unaweza tumia kwa muda gani, na je unaweza tumia mpk miaka kumi?
4. Je, haipo ya kila baada ya miezi sita au mwaka?
5. Je, unaweza jichoma mwenyewe?
Nb: Hili ni tatizo tusaidiane. Km sio lako leo linaweza kuwa lako kesho tunaomba uzoefu kwa ambao wanatumia au wanauzoefu wa watu ambao wanatumia
Asante
1. Uzito mkubwa
2. Vitambi
3. Kutofanya mazoezi
4. Matumizi ya madawa ya kupunguza maumivu. Nk
Ninachotaka kujua kwa ambao wanatumia au walishawahi kutumia sindano ya testosterone.
1. Unachoma mara ngapi kwa mwezi.
2. Inakaa kwa muda gani ndani ya mwili.
3. Unaweza tumia kwa muda gani, na je unaweza tumia mpk miaka kumi?
4. Je, haipo ya kila baada ya miezi sita au mwaka?
5. Je, unaweza jichoma mwenyewe?
Nb: Hili ni tatizo tusaidiane. Km sio lako leo linaweza kuwa lako kesho tunaomba uzoefu kwa ambao wanatumia au wanauzoefu wa watu ambao wanatumia
Asante