Gari yenye heshima mtaani na barabaran pia alafu IPO juu kama ilivyo harrier na Subaru,kuhusu speed hapo ndipo Nyumbani kwake ukiwa njiani hamna cha Subaru,mark X wala brevis hawa wote ni wachumba Tu mbele ya mjerumani...
nimeshudia jpili hii kutoka Vingunguti kuitafuta mtava hakika wazungu ni habari nyingine Kwenye speed maana jamaa alikuwa anatupiga Tu overtaking
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.