profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,134
Junior Mitsubish Pajero
1. Upatikaji wa spea
2. Uimara
3. Ulaji wa mafuta
4. Uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
kwa 1000cc sidhani kama itaweza safari hiyo Dar- MwanzaWanajamvi kwa mwenye uzoefu na ufahamu wa hii gari,naomba msaada kihusu
1.upatikaji wa spea
2.uimara
3.ulaji wa mafuta
4.uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
View attachment 2168703
Kwa safari za ndani na mikoa ya karibu inafaa.Wanajamvi kwa mwenye uzoefu na ufahamu wa hii gari,naomba msaada kihusu
1.upatikaji wa spea
2.uimara
3.ulaji wa mafuta
4.uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
View attachment 2168703
Spare zipo ila bei juu kidogoWanajamvi kwa mwenye uzoefu na ufahamu wa hii gari,naomba msaada kihusu
1.upatikaji wa spea
2.uimara
3.ulaji wa mafuta
4.uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
AiseeHamna gari humo, ukizingatia hili utakuja kunishukuru baadae. Mitsubishi wanajua kutengeneza mitambo tu na gari za shuruba kama fuso au malori!
Kwenye commuters kama daily driven personal cars kama mini pajero ni ushubwada tu.
kwa 1000cc sidhani kama itaweza safari hiyo Dar- Mwanza
Dar mwanza kama anafika mtu mwenye pikipiki cc 150 itashindwa hiyo gari ya 1.0L??! kwani imetengenezwa kwa mkate??! acha upotoshajikwa 1000cc sidhani kama itaweza safari hiyo Dar- Mwanza
Mkuu japo niko nje mada ,nimeona nikueleze. Hii gari siti zake za nyuma ni kero. Mtu mzima akikaa lazima miguu ibanwe na kiti cha mbele.Wanajamvi kwa mwenye uzoefu na ufahamu wa hii gari,naomba msaada kihusu
1. Upatikaji wa spea
2. Uimara
3. Ulaji wa mafuta
4. Uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
Wanajamvi kwa mwenye uzoefu na ufahamu wa hii gari,naomba msaada kihusu
1. Upatikaji wa spea
2. Uimara
3. Ulaji wa mafuta
4. Uvumilivu wa safari ndefu,labda dsm-mwanza(gari ni cc1000),karibuni kwa maoni.
Hamna gari humo, ukizingatia hili utakuja kunishukuru baadae. Mitsubishi wanajua kutengeneza mitambo tu na gari za shuruba kama fuso au malori!
Kwenye commuters kama daily driven personal cars kama mini pajero ni ushubwada tu.
Mkuu uliendesha na nguo gani? 😂Niliwahi kutoka na pikpiki boxer 150cc kutoka dar mpka dodoma>430kilomita
sasa unataka kuniambia hicho ki junior kitashindwa fika mwanza??.
akilete nimpelekee mwanza na kurudi
ACHENI UPOTOSHAJI