Naomba kujuzwa kuhusu CO na pharmacist

Naomba kujuzwa kuhusu CO na pharmacist

Naomba kujua Kati ya hao watu wawili mishahara yao ikoje na je ukimalza kusoma ajira kuipata inakuwaje?!
 
wenzako wanaenda kuajiriwa kenya mkuu hapa tanzania sekta ya afya imejaa japo dokta mmoja anahudumia watu elfu 12 ila miaka iliopita ilikuwa ajira moja kwa moja nakushauri Phamarcy katika level ye diploma na cheti mzuri saaana maana maduka ya dawa kila siku wanafungua
 
CO imekua sio issue sana nowdays coz MD wapo wengi so Bora soma pharmacy then tafuta mtaji ufungue duka uuze madawa ya binaadam.. Nashaur
 
Naomba kuuliza mishahara ya hao watu wawili ikoje na je ukimalza kusoma ajira kuipata inakuwaje?
CO ana diploma wakati pharmacist ana degree hawawezi kufanana labda ulinganishe CO na pharmacy technician (diploma holder )
 
But I advice you, find the past thread in Jamiiforum by using google search. Because in jamiiforum has the many similar threads like your.

N.b: Sory for me by using this language, because I am in practicing, haha!
 
But I advice you, find the past thread in Jamiiforum by using google search. Because in jamiiforum has the many similar threads like your.

N.b: Sory for me by using this language, because I am in practicing, haha!
Worry not I have understood you brethren and thank you for your advice
 
But I advice you, find the past thread in Jamiiforum by using google search. Because in jamiiforum has the many similar threads like your.

N.b: Sory for me by using this language, because I am in practicing, haha!
Nakuonaaaa....[emoji1] [emoji122]
 
wenzako wanaenda kuajiriwa kenya mkuu hapa tanzania sekta ya afya imejaa japo dokta mmoja anahudumia watu elfu 12 ila miaka iliopita ilikuwa ajira moja kwa moja nakushauri Phamarcy katika level ye diploma na cheti mzuri saaana maana maduka ya dawa kila siku wanafungua
Hahahaaa asante kaka
 
No I mean wote wakiwa na diploma

1😛harmacist ni mwenye degree ya kwanza ya Pharmacy,mwenye diploma anaitwa pharmaceutical technician

2:Kazi hakuna ,labda private sectors

3:Serikalini,diploma wote kwa afya wanalingana mshahara
 
1😛harmacist ni mwenye degree ya kwanza ya Pharmacy,mwenye diploma anaitwa pharmaceutical technician

2:Kazi hakuna ,labda private sectors

3:Serikalini,diploma wote kwa afya wanalingana mshahara
OK and wote wakiwa na diploma mshahara unarange hadi shingap
 
Pharmacy inalipa sana na hauwezi kukosa ajira
 
Back
Top Bottom