crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,247
- 888
Kama kuna mwenye kuelewa kuhusu matumizi, faida, gharama za aina mpya za P.O.P wanasema ni za fibre glass na nyepesi.
Je unaweza kuitumia zaidi ya mara moja baada ya kuifungua/kuitoa? Gharama za kufunga na kununua zikoze? Msaada please maana hii POP niliyofungwa aka "Mhogo" ni kama kilo 3 yaani inanichosha balaa.
Je unaweza kuitumia zaidi ya mara moja baada ya kuifungua/kuitoa? Gharama za kufunga na kununua zikoze? Msaada please maana hii POP niliyofungwa aka "Mhogo" ni kama kilo 3 yaani inanichosha balaa.