Naomba kujuzwa jinsi ya kuharibu simu ya mtu bila yeye kujua

Ifumange

JF-Expert Member
Oct 21, 2016
902
1,068
Kiukweli huyu msichana wangu wa kazi anatumia simu vibaya mpaka inakera muda wote ana chati anaongea na simu usiku wa manane kibaya zaidi analala na watoto kwakweli nitapata dhambi lakini hapana lazima niiharibu simu yake ila sitaki ajue kama nimeiharibu naombeni tusaidiane
 
Hiyo sio suluhu !
Ukiona unatumia nguvu kutatua hilo tatizo, ni ishara kuwa huyo HG kakushinda akili!

Kwani wewe si ndio umemuajiri hapo? Kwanini usitumie nafasi yako kumdhibiti!
Isitoshe huyo ni kama mwanao, unaweza kutumia nafasi ya Mzazi/Mlezi wake kumuweka katika mstari..!
 
Wakati iko kwenye chaji mtume sokoni,halafu ichukuwe iloweke kwenye maji km dakika tano hivi, halafu ifute jujuu irudishe kwenye chaji, akirudi mtume gazeti la mwananchi,au hata uhuru chukua gazeti lako jifanye unasoma huku ukingojea mrejesho.
 
Lazima kujiwekea sheria kwenye Nyumba yako, muda wa kulala watu wote walale, muda wa kaz ni kazi, wakat wa mapymziko atumie simu sasa kipi kinakushinda, ukipewa kitengo kwenye ofisi utaongoza Kweli?
 
Wewe kama Dudu
za ee ukisimama iinangalia chin ukinama inatazama nyuma ukilala inaJi iiiii kama simu yatachi rotten hueleweki upowap Au unamtomba mnyangane fasta mbwa ww
 
State's WÀ ZZZzzZ
" class="bbImage lazyload" data-zoom-target="1" style="" alt="" title="" width="" height="" />
[/IMG]ZZZZZZZZZzzZZZzzzZzzzzzaagcgxaà
 
Wewe kama Dudu
za ee ukisimama iinangalia chin ukinama inatazama nyuma ukilala inaJi iiiii kama simu yatachi rotten hueleweki upowap Au unamtomba mnyangane fasta mbwa ww
Hivi kweli eeh..! Atakua analiwa na ba Muu maana namwambia ataniharibia wtt anasema hapana wtt bado wa dogo
 
Huyo sio house girl huyoo ni mkeo, unashindwa kusema tuuu kuwaa kakuchosha na tabia zakee mpaka mnalala yeye anachati tuu.
Ni kumwambia tuuu hupendi anavyofanya
 
Kiukweli huyu msichana wangu wa kazi anatumia simu vibaya mpaka inakera muda wote ana chati anaongea na simu usiku wa manane kibaya zaidi analala na watoto kwakweli nitapata dhambi lakini hapana lazima niiharibu simu yake ila sitaki ajue kama nimeiharibu naombeni tusaidiane
Mi nahisi itakua ni demu wako na tena atakua amekushika kama sio mwanaume suruali kila kitu anakuletea mwanamke haiwezekani msichana wako Wa kazi umshindwe unae mlisha na some time unamnunulia hata baadhi ya vtu
 
shida ni nini?? kila mtu na uhuru wake wa kutumia simu
kwani kazi hafanyi??
ili msichana wa kazi afanye kazi mpaka ufurahi kwanza apate tulizo la moyo(amani) pili asiwe na nyege
TRUST ME
acha ujinga dada wa kazi sawa tu na mwanao kama umekuja huku inadhihilisha kuwa umeshindwa kumuendesha sasa anakuendesha wewe
hiyo simu unataka kuiharibu kama umemnunulia wewe ni sawa tu ila kama kanunua kwa mshahara wake huo ni uonevu
msichana wa kazi ni mwanao pia no matter what
 
Back
Top Bottom