Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 745
- 1,348
Mkuu ueshaanza biashara ya magitaa??
Uliacha auNaomba kuuliza bei za Guitar au gitaa Tanzania, za umeme na zisizo tumia umeme, nimeziona huku nilipo katika minada au auction, pengine naweza kufanya hii biashara, nahitaji kufahamu bei zake Tanzania na sina utaalamu nazo, mwenye kuzifahamu anifahamishe.
Laki Mbili pale Lumumba Dar es salaam kuna maduka matatu ya music katafute pale. Brand nzuri ya cold spanish guitar ni YamahaAcoustic guitar isiyotumia umeme sh ngapi wadauuuu?