Naomba kujuzwa Bei za Guitar

Naomba kujuzwa Bei za Guitar

Naomba kuuliza bei za Guitar au gitaa Tanzania, za umeme na zisizo tumia umeme, nimeziona huku nilipo katika minada au auction, pengine naweza kufanya hii biashara, nahitaji kufahamu bei zake Tanzania na sina utaalamu nazo, mwenye kuzifahamu anifahamishe.
Uliacha au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom