GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
Naomba kuuliza bei za Guitar au gitaa Tanzania, za umeme na zisizo tumia umeme, nimeziona huku nilipo katika minada au auction, pengine naweza kufanya hii biashara, nahitaji kufahamu bei zake Tanzania na sina utaalamu nazo, mwenye kuzifahamu anifahamishe.