Kwanini usiende moja kwa moja?Ambae anajua anuani ya kamembwa jkt na mkuu wa kambi ya pale anifahamishe,nilienda mujibu wa sheria 2017,nataka niombe kazi izi za police
Ingependeza sana ukafika moja kwa moja kuliko njia ya maandishi itakuchelewesha sana kujibiwaJapo nadhani hii ya kwenda moja kwa moja inaweza ikasaidia
Kuna namna ya kufanya sio mpaka ufike kanembwa njoo nikuelewesheAmbae anajua anuani ya Kanembwa JKT na mkuu wa kambi ya pale anifahamishe,nilienda mujibu wa sheria 2017,nataka niombe kazi izi za police
Njia gani?Kuna namna ya kufanya sio mpaka ufike kanembwa njoo nikueleweshe
Mkuu ebu iweke hapa itasaidia wengiKuna namna ya kufanya sio mpaka ufike kanembwa njoo nikueleweshe