naomba kujua

naomba kujua

Joined
Jun 18, 2013
Posts
17
Reaction score
2
jamani wakuu naomba kuuliza kama sio kujua, nimekua katika wakati mguuumu sana kwani kunamaneno watu husema kwamba mwanamke mwembamba huwa haridhiki na mwanaume mfupi, na kwaupande wangu me naamini kua wanaume wote ni sawa kwamba alichonacho mwanaume mrefu ndo alichokuanacho mwanaume mfupi au mnene au mwembamba je?ukweli uko wapi, ikiwa kuna wanawake wafupi na wnene hawaridhiki hata ungewafanya nini???? lakini wao husifika kwamba tabia zao ni nzuri, sasa jamani nishike lipi niache lipi maana katika utafiti wang na kujaribu kuongea na watu mbalimbali cjapata majibu ya kujitosheleza na ndomna leo nimeamua kuweka mambo hazarani ili nipate kujifunza kwa undani zaidi na zaidi..............
 
Kwani ww ni mfupi?me nadhani ungeenda kwenye point labda we ni mfupi na una girl mrefu mwembamba,ama nn
 
kama wewe ni mfupi tafuta tu hela....
hakuna mwanamke ambae hataridhika na wewe!!!!!!!!!
 
jamani wakuu naomba kuuliza kama sio kujua, nimekua katika wakati mguuumu sana kwani kunamaneno watu husema kwamba mwanamke mwembamba huwa haridhiki na mwanaume mfupi, na kwaupande wangu me naamini kua wanaume wote ni sawa kwamba alichonacho mwanaume mrefu ndo alichokuanacho mwanaume mfupi au mnene au mwembamba je?ukweli uko wapi, ikiwa kuna wanawake wafupi na wnene hawaridhiki hata ungewafanya nini???? lakini wao husifika kwamba tabia zao ni nzuri, sasa jamani nishike lipi niache lipi maana katika utafiti wang na kujaribu kuongea na watu mbalimbali cjapata majibu ya kujitosheleza na ndomna leo nimeamua kuweka mambo hazarani ili nipate kujifunza kwa undani zaidi na zaidi..............

Soma vitabu hivi, vitakusaidia sana kuelewa mambo:

1) Kamasutra: Kama Sutra - Wikisource, the free online library

2) The perfumed Garden: The Perfumed Garden - Wikisource, the free online library
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom