Naomba kujua zaidi kuhusu gari aina ya Toyota Hilux na Nissan Hardbody

Mkuu nambie bei ya hiyo Nissan hilux hapo SA nijilipue kwa shughuri zangu za shamba.
Umechanganya ila nimekuelewa Nissan hard body single au double cabin zinaanzia rand 60,000 mpaka laki moja zidisha Mara 160 ndio rate ya rand ya juu ingawaje sasa hivi ipo 155 maana wakifungua mipaka itapanda...Kuna bei ya mm kununua na kuileta Tz na bei ya wewe kununua hapa kutuma hela kwenye kampuni baada ya mm kuchagua gari ikilipwa ni kuchukua kufanya service ndogo na kuileta hadi tunduma na pia unaweza kuja mwenyewe Mimi unanipa posho tuu ya kusimamia shughuli zote mpaka unaondoka na gari Kama huwezi kuendesha umbali mrefu unapewa dereva unamlipa mpaka Tunduma...Tanzania ni vile mnatishwa kuhusu magari ila wengi tunaoshinda shamba ilitakiwa kuwa na pick up huku zipo Mahindra ni ngumu mno pia hata hizo tata xenon hazina bei kabisa angalia wahindi wanavyozitumia yupo jamaa mmoja wa Moro alifata Mahindra tuliipata hakutaka gari yeyote...na nilipoifatilia nikagundua kweli ni mashine...
 
Umechanganya ila nimekuelewa Nissan hard body single au double cabin zinaanzia rand 60,000 mpaka laki moja zidisha Mara 160 ndio rate ya rand ya juu ingawaje sasa hivi ipo 155 maana wakifungua mipaka itapanda...Kuna bei ya mm kununua na kuileta Tz na bei ya wewe kununua hapa kutuma hela kwenye kampuni baada ya mm kuchagua gari ikilipwa ni kuchukua kufanya service ndogo na kuileta hadi tunduma na pia unaweza kuja mwenyewe Mimi unanipa posho tuu ya kusimamia shughuli zote mpaka unaondoka na gari Kama huwezi kuendesha umbali mrefu unapewa dereva unamlipa mpaka Tunduma...Tanzania ni vile mnatishwa kuhusu magari ila wengi tunaoshinda shamba ilitakiwa kuwa na pick up huku zipo Mahindra ni ngumu mno pia hata hizo tata xenon hazina bei kabisa angalia wahindi wanavyozitumia yupo jamaa mmoja wa Moro alifata Mahindra tuliipata hakutaka gari yeyote...na nilipoifatilia nikagundua kweli ni mashine...


Mkuu...mimi pia nataka engine ya Toyota pickaup. Nina Toyota Hilux 2.8l Double cabin pickup.... ila nataka kufunga engine ya 1KD ya Diesel.... hebu tuyajenge kama naweza pata huko ukanitumia....
 
Mkuu...mimi pia nataka engine ya Toyota pickaup. Nina Toyota Hilux 2.8l Double cabin pickup.... ila nataka kufunga engine ya 1KD ya Diesel.... hebu tuyajenge kama naweza pata huko ukanitumia....
Ok Mkuu ngoja niitafute nijue bei yake ntakujulisha nimekutana sana na 2KD ila hiyo moja ipo pia..
 
Mkuu ninahitaji msaada wako sana juu ya kupata moja ya hii chombo VIP kuhusu usajiri huku kwetu ikitoka huko?
Umechanganya ila nimekuelewa Nissan hard body single au double cabin zinaanzia rand 60,000 mpaka laki moja zidisha Mara 160 ndio rate ya rand ya juu ingawaje sasa hivi ipo 155 maana wakifungua mipaka itapanda...Kuna bei ya mm kununua na kuileta Tz na bei ya wewe kununua hapa kutuma hela kwenye kampuni baada ya mm kuchagua gari ikilipwa ni kuchukua kufanya service ndogo na kuileta hadi tunduma na pia unaweza kuja mwenyewe Mimi unanipa posho tuu ya kusimamia shughuli zote mpaka unaondoka na gari Kama huwezi kuendesha umbali mrefu unapewa dereva unamlipa mpaka Tunduma...Tanzania ni vile mnatishwa kuhusu magari ila wengi tunaoshinda shamba ilitakiwa kuwa na pick up huku zipo Mahindra ni ngumu mno pia hata hizo tata xenon hazina bei kabisa angalia wahindi wanavyozitumia yupo jamaa mmoja wa Moro alifata Mahindra tuliipata hakutaka gari yeyote...na nilipoifatilia nikagundua kweli ni mashine...
 
Mkuu ninahitaji msaada wako sana juu ya kupata moja ya hii chombo VIP kuhusu usajiri huku kwetu ikitoka huko?
Mkuu gari hizo zimetofautiana mwaka kwa hiyo hata Kodi itatofautiana pia zipo Kodi juu na zingine zipo chini nadhani ungeweza kuingia kwenye kikokoteo cha TRA harafu unaingiza miaka tofauti kulingana na wewe una shilingi ngapi kwenye Kodi ukubwa wa engine nyingi 3.0 Diesel engine...ingawaje zipo 2.5 pia
 
Ok Mkuu ngoja niitafute nijue bei yake ntakujulisha nimekutana sana na 2KD ila hiyo moja ipo pia..


Mkuu kama nilivokudokeza kuwa ni engine nayotaka kufunga kwy Toyota Hilux 2.8 Double Cabin ambayo originally ilikuwa na engine ya 2.8L
Mie nilipoinunua nilifunga 3L ambayo nilununua pale Shauri Moyo ila ilikufa haraka sana kwa kunock.

So nataka hizi KD series ambazo nasikia zinaperform vizuri kuliko 2.8L au 3L au 5L

Je hii 1KD-FTV ndo huitwa D-4D??????

Pia about 1KD vs 2KD huenda 1KD ikanywa mafuta sana kuliko 2KD japo inaonekana 2KD inapungukiwa power ukilinganisha na 1KD... hivo nadhani 1KD inaweza kuwa nzuri zaidi ya 2KD... au unashauri vipi???





Some details kutoka kwa net...

1KD-FTV: The 1KD-FTV is a 3.0L (2982cc) straight-4 common rail diesel engine with a variable geometry turbocharger and Intercooler. It has 16 valves and a DOHC (double overhead camshaft) design. Bore is 96 mm and stroke is 103 mm. It generates 170 hp (127 kW) at 3400 rpm, and 260 lbf·ft (352 N·m) of torque at 1800-3400 rpm.2KD-FTV:
Compression : 17.9:1
Bore and stroke is (96mmx103mm)

The 2KD-FTV is the 2nd generation of the KD series of engine with a smaller 2.5 L (2494 cc) displacement. Bore remains the same 92 mm but stroke is increased to 93.8 mm. It has 16 valves and is a DOHC engine with a turbocharger and intercooler. It produces 101 horsepower (75 kW) at 3400 rpm and 191.7 lb·ft (260 N·m) of torque at 1600-3600 rpm without an intercooler and 118 hp (88 kW) at 3400 rpm and 239.85 ft·lbf (325 N·m) of torque at 1600-3600 rpm for the intercooled version.
Compression ratio is 18.5:1.
Bore is same but stroke is increased to 93.8mm

The only major changes from the 1KD-FTV to the 2KD-FTV was the bore and the stroke.



Asante.
 
Nissan Hardbody nyingi zilizosumbua hapa Tanzania ni zenye injini ya YD25 na ZD yenye 3000cc hizi hazitaki fundi mjanja wa kubana Ela ya spea au oil/hydrolic lazima Ife.

Hardbody zenye injini iliyozoeleka ni TD25 na TD27 hizi mafundi wengi na spea kibao maana hata kwenye Nissan Caravan ndio zimetumika na hata uki miss behave uhakika wa kuirudisha mkubwa. Hata Nissan Caravan/Hommy baada ya injini za QD32 na YD kuwa zinakufa Sana kwa kukosa care, mafundi na watu wa daladala wakawa wanakimbilia kununua zenye td25 na td27.

Kama unataka Nissan ya kuipeleka mputa mputa Kama Toyota inabidi uchukue yenye injini ya Td25/Td27 spea na mafundi hutowaza na haina mambo mengi hata spea za Tandale inadunda bila shida.
 
Nimekupata mkuu hivi Nissan hardbody double cabin zipo ambazo seat yake ile ya abilia iko comfortable?
Nissan Hardbody nyingi zilizosumbua hapa Tanzania ni zenye injini ya YD25 na ZD yenye 3000cc hizi hazitaki fundi mjanja wa kubana Ela ya spea au oil/hydrolic lazima Ife.

Hardbody zenye injini iliyozoeleka ni TD25 na TD27 hizi mafundi wengi na spea kibao maana hata kwenye Nissan Caravan ndio zimetumika na hata uki miss behave uhakika wa kuirudisha mkubwa. Hata Nissan Caravan/Hommy baada ya injini za QD32 na YD kuwa zinakufa Sana kwa kukosa care, mafundi na watu wa daladala wakawa wanakimbilia kununua zenye td25 na td27.

Kama unataka Nissan ya kuipeleka mputa mputa Kama Toyota inabidi uchukue yenye injini ya Td25/Td27 spea na mafundi hutowaza na haina mambo mengi hata spea za Tandale inadunda bila shida.
 
Mkuu kama nilivokudokeza kuwa ni engine nayotaka kufunga kwy Toyota Hilux 2.8 Double Cabin ambayo originally ilikuwa na engine ya 2.8L
Mie nilipoinunua nilifunga 3L ambayo nilununua pale Shauri Moyo ila ilikufa haraka sana kwa kunock.

So nataka hizi KD series ambazo nasikia zinaperform vizuri kuliko 2.8L au 3L au 5L

Je hii 1KD-FTV ndo huitwa D-4D??????

Pia about 1KD vs 2KD huenda 1KD ikanywa mafuta sana kuliko 2KD japo inaonekana 2KD inapungukiwa power ukilinganisha na 1KD... hivo nadhani 1KD inaweza kuwa nzuri zaidi ya 2KD... au unashauri vipi???





Some details kutoka kwa net...

1KD-FTV: The 1KD-FTV is a 3.0L (2982cc) straight-4 common rail diesel engine with a variable geometry turbocharger and Intercooler. It has 16 valves and a DOHC (double overhead camshaft) design. Bore is 96 mm and stroke is 103 mm. It generates 170 hp (127 kW) at 3400 rpm, and 260 lbf·ft (352 N·m) of torque at 1800-3400 rpm.2KD-FTV:
Compression : 17.9:1
Bore and stroke is (96mmx103mm)

The 2KD-FTV is the 2nd generation of the KD series of engine with a smaller 2.5 L (2494 cc) displacement. Bore remains the same 92 mm but stroke is increased to 93.8 mm. It has 16 valves and is a DOHC engine with a turbocharger and intercooler. It produces 101 horsepower (75 kW) at 3400 rpm and 191.7 lb·ft (260 N·m) of torque at 1600-3600 rpm without an intercooler and 118 hp (88 kW) at 3400 rpm and 239.85 ft·lbf (325 N·m) of torque at 1600-3600 rpm for the intercooled version.
Compression ratio is 18.5:1.
Bore is same but stroke is increased to 93.8mm

The only major changes from the 1KD-FTV to the 2KD-FTV was the bore and the stroke.



Asante.
Ok hiyo 2KD ni ya miaka ya karibuni ila 1KD ni version ya nyuma na pia hiyo D4D ni engine ya miaka ya karibuni ya Toyota ambayo imefanya vizuri sana na pia ni ghari na spea za d4d zipo juu kidogo tofauti na hizo series za KD zipo zile 3RZ pia na Kuna engine moja ngoja kesho niende garage nitakwambia pia ni jiwe sana ipo kwenye Toyota za hapa ila miaka miaka ya nyuma kidogo kesho ntakujulisha tukijaaliwa Mkuu..
 
Ok hiyo 2KD ni ya miaka ya karibuni ila 1KD ni version ya nyuma na pia hiyo D4D ni engine ya miaka ya karibuni ya Toyota ambayo imefanya vizuri sana na pia ni ghari na spea za d4d zipo juu kidogo tofauti na hizo series za KD zipo zile 3RZ pia na Kuna engine moja ngoja kesho niende garage nitakwambia pia ni jiwe sana ipo kwenye Toyota za hapa ila miaka miaka ya nyuma kidogo kesho ntakujulisha tukijaaliwa Mkuu..


Asante mkuu.
Nimegoogle tena hii 2KD inainekana ndo hizo wanaita D-4D
 

Attachments

  • Screenshot_20210214-232603.jpg
    Screenshot_20210214-232603.jpg
    149.8 KB · Views: 45
Asante mkuu.
Nimegoogle tena hii 2KD inainekana ndo hizo wanaita D-4
Mkuu hiyo D4D ni direct injection common rail kwenye mfumo wa mafuta wakati ile 2KD sio direct na pia Hp,cc,tourqe nadhani d4d itakua tofauti na hiyo na pia ratio zinatofautiana kidogo ila ukiona unadhani ni kitu kimoja...
 
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:

1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service

Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa vigezo vyako hapo ni NISSAN
 
Umechanganya ila nimekuelewa Nissan hard body single au double cabin zinaanzia rand 60,000 mpaka laki moja zidisha Mara 160 ndio rate ya rand ya juu ingawaje sasa hivi ipo 155 maana wakifungua mipaka itapanda...Kuna bei ya mm kununua na kuileta Tz na bei ya wewe kununua hapa kutuma hela kwenye kampuni baada ya mm kuchagua gari ikilipwa ni kuchukua kufanya service ndogo na kuileta hadi tunduma na pia unaweza kuja mwenyewe Mimi unanipa posho tuu ya kusimamia shughuli zote mpaka unaondoka na gari Kama huwezi kuendesha umbali mrefu unapewa dereva unamlipa mpaka Tunduma...Tanzania ni vile mnatishwa kuhusu magari ila wengi tunaoshinda shamba ilitakiwa kuwa na pick up huku zipo Mahindra ni ngumu mno pia hata hizo tata xenon hazina bei kabisa angalia wahindi wanavyozitumia yupo jamaa mmoja wa Moro alifata Mahindra tuliipata hakutaka gari yeyote...na nilipoifatilia nikagundua kweli ni mashine...
Mkuu shukurani nitakupm.
 
Mkuu hiyo D4D ni direct injection common rail kwenye mfumo wa mafuta wakati ile 2KD sio direct na pia Hp,cc,tourqe nadhani d4d itakua tofauti na hiyo na pia ratio zinatofautiana kidogo ila ukiona unadhani ni kitu kimoja...
Umechanganya mkuu
1kd na 2kd ni kitu kimoja kasoro bore and stroke (cc) na zote ni D4D
D4D stands for direct injection four cylinders common rail for. Diesel engine , ni tech zinazokaribiana sana kwa petrol variant ikiwa ina jina la D4 , (direct four)
 
Umechanganya mkuu
1kd na 2kd ni kitu kimoja kasoro bore and stroke (cc) na zote ni D4D
D4D stands for direct injection four cylinders common rail for. Diesel engine , ni tech zinazokaribiana sana kwa petrol variant ikiwa ina jina la D4 , (direct four)
Upo sahihi kabisa Mkuu 2KD na D4D zinafanana...1KD ni version ya nyuma kidogo
 
Hamna mtu amewahi kuona Hardbody yenye engine swap ya Toyota?
Binafsi nimefanikiwa kuona Ford Ranger(PK model 2012) yenye engline ya 5L.
Ila sijawahi kuona swap ya Nissan---ikitokea fundi anaweza kufanya swap ya 2KD/1HDT kwenye body ya NP300 itakuwa bomba sana...maana functions za NP300 ni very very basic---haina umeme mwingi.
 
Back
Top Bottom